21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

kimbilio lakini kwa shida na wakuu wa Kiprotestanti, kwani haki ya kila mtu kuabudu<br />

Mungu kufuata <strong>za</strong>miri yake mwenyewe haikukubaliwa. Wakaidi walipata mateso kwa<br />

mamia ya miaka.<br />

Maelfu ya Wachungaji (Pasteurs) Walifukuzwa<br />

Katika karne ya kumi na saba maelfu ya wachungaji walifukuzwa na watu wakakatazwa<br />

kuhuzuria mikutano yo yote ya dini isiyokuwa ile iliyoruhusiwa na kanisa. Ndani ya<br />

kimbilio la vilindi mwituni, wale watoto wa Bwana walioteswa walikusanyika kwa<br />

kumimina roho <strong>za</strong>o katika maombi (sala) na kusifu. Wengi waliteseka kwa ajili ya imani<br />

yao. Gere<strong>za</strong> zilijaa, jamaa zikatengana. Lakini mateso hayakunyamazisha ushuhuda wao.<br />

Wengi walilazimishwa kuvuka bahari kwenda Amerika na hapo ndipo paliwekwa msingi<br />

wa utaalamu na uhuru wa dini.<br />

Ndani ya gere<strong>za</strong> kulijaa na watu waliofanya makosa makubwa, John Bunyan, akapumua<br />

hewa ya mbinguni na akaandika mi<strong>za</strong>li yake ya ajabu ya safari ya msafiri kutoka kwa inchi<br />

ya uharibifu kwenda kwa mji wa mbinguni. Pilgrim’s Progress na Grace Abounding to the<br />

Chief of Sinners vimeongo<strong>za</strong> nyayo nyingi kwa njia ya uzima.<br />

Katika siku ya gi<strong>za</strong> ya kiroho Whitefield na Wesleys wakatokelea kama wachukuzi wa<br />

nuru kwa ajili ya Mungu. Chini kanisa lililoanzishwa watu wakarudia <strong>za</strong>mbini ambayo ni<br />

vigumu kutofautisha kwa ushenzi. Watu wa vyeo vya juu wakacheka uchaji wa Mungu;<br />

watu wa vyeo vya chini waka<strong>za</strong>mishwa kwa maovu. Kanisa halikuwa na uhodari ao imani<br />

kwa kusaidia maanguko ya neno la kweli.<br />

Kuhesabiwa Haki kwa Imani<br />

Mafundisho makubwa ya kuhesabiwa haki kwa imani, yaliyofundishwa wazi wazi na<br />

Luther, yalikuwa karibu kusahauliwa kabisa; kanuni ya kanisa la Roma ya kutumaini<br />

matendo mema kwa ajili ya wokovu yakakamata nafasi yake. Whitefield na Wesleys wawili<br />

walikuwa watafuti wa kweli kwa ajili ya wema wa Mungu. Hii walifundishwa kuwekwa<br />

salama kwa njia ya wema na kushika maagizo ya dini.<br />

Wakati Charles Wesley kwa wakati moja alipopata ugonjwa na akatumaini kwamba kifo<br />

kilikuwa karibu, akaulizwa, msingi wa tumaini lake la uzima wa milele ulikuwa juu ya kitiu<br />

gani. Jibu lake: “Nimetumia juhudi yangu bora kumtumikia Mungu.” Rafiki ilionekana<br />

hakutoshelewa kabisa kwa jibu hili. Wesley akafikiri: “Nini! ... Anatamani kuninyanganya<br />

juhudi yangu? Sina kitu kingine cha kutumainia.” Hiyo ndiyo ilikuwa gi<strong>za</strong> ambayo<br />

iliyoimara kwa kanisa, kugeu<strong>za</strong> watu kutoka kwa tumaini lao pekee la wokovu--damu ya<br />

Mkombozi aliyesulubiwa.<br />

Wesley na washiriki wake wakaongozwa kufahamu kwamba sheria ya Mungu<br />

inafikishwa mawazoni pia kwa maneno na matendo. Kwa juhudi <strong>za</strong> kazi na maombi<br />

wakafanya bidii ya kushinda maovu ya moyo wa asili. Wakaishi maisha ya kujinyima na<br />

102

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!